HIKI HAPA KIKOSI CHA TANZANIA DHIDI YA ALGERIA MARCH 22-2018
Kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Salumu Mayanga na benchi zima la ufundi kwa kauli moja wameamua kuwaanzisha Nahodha Mbwana Ally Samatta, Simon Msuva Shiza Kichuya katika eneo la ushambuliaji kwenye mechi ya Kirafiki dhidi ya Algeria.
Aidha mshambuliaji wa BDF XI ya Botswana Rashid Mandawa amepangwa kuanzia benchi sawa na kinda Yahya Zayd pamoja na Shaban Idd Chilunda.
Kinachoanza: Aishi Manula, Shomari Kapombe, Gadiel Mbaga, Abdi Banda, Kelvin Yondani, Himid Mao, Mudathir Yahya, Said Ndemla, Mbwana Samatta, Saimon Msuva na Shiza Kichuya.
Akiba: Ramadhan Kabwili, Mohamed Abdulrahman, Hassan Kessy, Erasto Nyoni, Abdullaziz Makame, Mohamed Issa, Ibrahim Ajib, Feisal Salum, Yahya Zayd, Shaban Idd Chilunda na Rashind Mandawa.
Mchezo huo wa kirafiki ambao upo katika kalenda ya Shirikisho la Soka Ulimwengu (FIFA) utafanyika saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki, na utakuwa live ZBC 2.
Aidha mshambuliaji wa BDF XI ya Botswana Rashid Mandawa amepangwa kuanzia benchi sawa na kinda Yahya Zayd pamoja na Shaban Idd Chilunda.
Kinachoanza: Aishi Manula, Shomari Kapombe, Gadiel Mbaga, Abdi Banda, Kelvin Yondani, Himid Mao, Mudathir Yahya, Said Ndemla, Mbwana Samatta, Saimon Msuva na Shiza Kichuya.
Akiba: Ramadhan Kabwili, Mohamed Abdulrahman, Hassan Kessy, Erasto Nyoni, Abdullaziz Makame, Mohamed Issa, Ibrahim Ajib, Feisal Salum, Yahya Zayd, Shaban Idd Chilunda na Rashind Mandawa.
Mchezo huo wa kirafiki ambao upo katika kalenda ya Shirikisho la Soka Ulimwengu (FIFA) utafanyika saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki, na utakuwa live ZBC 2.